Zaidi - Jux

Zaidi - Jux

  • Year of release: 2019
  • Language: Swahili
  • Duration: 3:48

Below is the lyrics of the song Zaidi , artist - Jux with translation

Lyrics " Zaidi "

Original text with translation

Zaidi

Jux

Na na na nax4

Zinanitoka goose bumps, Nikisikia jina lako

Mi ninaweukaa, Kabisa mi ni chizi wako

Na kama ni mganga eeeh, Mzuri huyo mganga wako

Sio kwa kunipumbaza huku (Baby mmhh)

Mommy ongeza ubuyu, nizidi kuumumunya eeeh

Tena na sukari guru, Utamu nikitafuna eeeh

Baby ongeza ubuyu, nizidi kuumumunya eeeh

Tena na sukari guru, Utamu nikitafuna eeeh

Kama ni pilipili maa, Acha ukali niusikie

Kama nivita mama, Acha adui wanivamie

Kama we ni asali maa, Acha na nyuki wanivamie

Lakini penzi lako baby, Ata kidogo lisipungue

No no nooooo

Zaidi X4

Nipe X2

Zaidi X2

Wewe zaidi zaidiii

Wewe nipe zaidi zaidi (zaidiii)

Nanyosha mikoni juu, kwako me nimesurrender

Naona maajabu, Sungura kazidiwa ujanja

Nimekuwa zuzu zuzu zuuu, Nimekuwa bubu bubu buuu

Nimekuwa mbumbu mbuu baby ehh, Nimekuwa zaidi ya nyumbu

Sioni sisikiii… (aaah)

Sioni sisikiii baby eeeh

Kama ni pili pili maa, Acha ukali niusikie

Kama nivita mama (na na na na), Acha adui wanivamie

Kama we ni asali maa, Acha na nyuki wanivamie

Lakini penzi lako baby, Ata kidogo lisipungue

Zaidi X4

Nipe X2

Zaidi X2

Wewe zaidi zaidiii

Wewe nipe zaidi zaidi (zaidiii)

Mommy ongeza ubuyu, nizidi kuumumunya eeeh

Tena na sukari guru, Utamu nikitafuna eeeh

Baby ongeza ubuyu, nizidi kuumumunya eeeh

Tena na sukari guru, Utamu nikitafuna eeeh (Mmmmh)

Other songs by the artist:

1

#Umenikamata

Jux • 2017

2

Fimbo

Jux • 2018

New texts and translations on the site:

2+ million lyrics

Songs in different languages

Translations

High-quality translations into all languages

Quick search

Find the texts you need in seconds