Below is the lyrics of the song Niache , artist - Diamond Platnumz with translation
Original text with translation
Diamond Platnumz
Eti nikuombee mema
Na baraka uzidi fanikiwa
Siwezi kamwe wala
Ni sawa na kuiforce sinema
Kuitazama na haijanivutia
Lazima tu ntalala
Na kwa barabara ukipita
Nenda kulia ukiniona kushoto
Sitaki hata tuonane
Usije wala ukaniita
Donda vilia utanchochea tu moto
Nisije nkutukane
Kinachoniumiza nafsi
Kunisikitisha kwa watu kujishongondoa
Kumbe mapenzi hisabati wakati nayazidisha
Mwenzangu nje unayatoa
Wewe cement mimi mchanga
Nkasema penzi tujenge lisije loa
Najitia mkandarasi naezeka mabati
Wewe chini kenchi unabomoa
Niache
Niache
Niache, oh niache
Niache
Nipambane na moyo wangu
Niache (niaaa…)
Niache (moyo wangu una hasira)
Niache, oh niache
Niache
Najitahidi nisilale kwenye kitanda
Huenda ntapunguza ndoto zako
Mwilini nina machale utadhani mwanga
Yote kuusahau uwepo wako
Laiti kama ningekuwa gari
Ningekugonga barabarani
Ama nyuki mtoa asali
Nkung’ate sura wasiitamani
Hivi wewe ungo ulivunja mwali
Ama ulivunja sahani
Kuniundia mateam kwa mitandao
Vijembe vya kazi gani
Kinachoniumiza nafsi
Kunisikitisha kwa watu kujishongondoa
Kumbe mapenzi hisabati wakati nayazidisha
Mwenzangu nje unayatoa
Wewe cement mimi mchanga
Nkasema penzi tujenge lisije loa
Najitia mkandarasi naezeka mabati
Wewe chini kenchi unabomoa
Niache, oh niachee
Niache (mimi moyo wangu una hasira)
Niache (tena ukae mbali)
Niache (oooh niachee)
Niache (usiwapigie rafiki zangu)
Niache (usithubutu hata simu yangu)
Niache (chonde tafadhali)
Niache (niaaa…)
(Iyoo lizer)
Ntakudanganya kwa tabasamu
Ntakudangany kwa kucheka
Ntakudanganya hata kwa salamu
Ila moyoni nakuchukia
Nitakudanganya kukufollow
Nitakudanganya kucomment
Nitakudangaya kulike picha
Ila siwezi kukuzimia
May I wish you well
And may blessings abound
I can never nor
It is the same as forcing movies
I watched it and it didn't impress me
I just have to sleep
And by the road you pass
Go right if you see me left
I don't even want to see you
Do not come or call me
The sore throat will only provoke fire
Let me insult you
What hurts the soul
It makes me sad for people to self-deprecate
But love mathematics when I multiply it
My partner out you give it
You cement I sand
I said love let's build it so it doesn't get married
I hire a contractor and install galvanized steel
You down kenchi you demolish
Niache
Niache
Niache, oh niache
Niache
Let me fight with my heart
Niache (niaaa…)
Leave me (my heart is angry)
Niache, oh niache
Niache
I try not to fall asleep in bed
I may not reduce your dreams
In my body I have a baby you will think light
All forgetting your presence
I wish I were a car
I would hit you on the road
Or a bee honeycomb
I wish I had a look at it
Thus you sieve you broke the flame
Or you broke the plate
Creating a team for networking
What razor blades work
What hurts the soul
It makes me sad for people to self-deprecate
But love mathematics when I multiply it
My partner out you give it
You cement I sand
I said love let's build it so it doesn't get married
I hire a contractor and install galvanized steel
You down kenchi you demolish
Niache, oh niachee
Leave me (my heart is angry)
Leave me (again stay away)
Niache (oooh niachee)
Leave me alone (do not call my friends)
Leave me alone (do not even dare to call me)
Leave me (please)
Niache (niaaa…)
(Iyoo lizer)
I will not deceive you with a smile
I will not deceive you with laughter
I will not deceive you even with greetings
Except in my heart I hate you
I will deceive you to follow you
I will deceive you to comment
I will deceive you like the picture
But I can't turn it off
Songs in different languages
High-quality translations into all languages
Find the texts you need in seconds